JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Nape: Waandishi wa habari ni kama wanataaluma wengine wajisimamie wenyewe’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia SERIKALI imesema kuwa sheria ya mwaka 2016 ilitungwa ili kupunguza mikono ya Serikali kuendesha vyombo vya habari kwani sheria ya mwaka 1976 ilikuwa imeweka mikono mingi sana. Akizungumza katika kipindi cha Televisheni cha BBC, Dira ya DuniaWaziri…

Serikali kuja na mpango ufugaji nyuki wa manzuki

Serikali imejipanga kuja na mpango wa ufugaji nyuki ujulikanao kama Manzuki ambapo nyuki watakuwa wanafugwa katika eneo maalum bila kuathiri uhifadhi. Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja (Mb) alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kata…

Wadau wachangia bil.1.26/- kumuunga mkono Rais Samia kuzisaidia timu

Wadau wa michezo nchini wamechanga jumla ya sh. bilioni 1.26 ikiwa ni kuitikia wito wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kuzisaidia timu za Serengeti Girls na Tembo Warriors ambazo zinapaswa kushiriki michuano ya kimataifa huko India na Uturuki. “Kikao hiki…

Serikali kuendelea kumkumbuka Augustino Mrema

Waziri Mku Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kumkumbuka Augustino Lyatonga Mrema kutokana na mchango wake mkubwa wa kuendeleza mahusiano na vyama vya siasa. “Mheshimiwa Mrema atakumbukwa kama kiongozi mkuu wa Chama cha TLP kwa muda mrefu sana. Na akiwa katika…