JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Watoto wanne wafariki kwa kuungua moto uliowashwa na mganga wa kienyeji

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora JESHI la Polisi linamshikilia mganga wa kienyeji anayetuhumiwa kuwasha moto kisha kusababisha watoto wanne wa familia moja kufariki huku saba wakilazwa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo limetokea usiku…

Kamishina Mkuu wa UNHCR atua Dodoma

Kamishina Mkuu wa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR), Bw. Filippo Grandi yupo nchini tokea tarehe 24 Agosti 2022 kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine, atafanya mazungumzo na viongozi wakuu wa Serikali na kutembelea Kambi…

Serikali kuendelea kuwekeza TAZARA

Serikali imesema kwa mwaka wa fedha 2022/2023 imetenga zaidi ya bilioni 12 kwa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma ya usafirishaji wa abiria na mizigo ya ndani na nje ya nchi…

Sillo: Fedha za UVIKO 19 za Rais Samia zimejenga madarasa 78 Babati

Mbunge wa jimbo la Babati Vijijini Mheshimiwa Daniel Sillo, amesema ndani ya kipindi cha miaka miwili akiwa madarakani yapo mambo mengi ambayo yamefanywa na serikali katika jimbo hilo na bado mipango inaendelea. Mheshimiwa Sillo ambaye pia ni mwenyikiti wa kamati…