Author: Jamhuri
Rais Mwinyi : Serikali inaendelea kuchukua hatua madhubuti kuimarisha sekta ya utalii
Na Mwandishi Maalum Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua Madhubuti za Kuimarisha Sekta ya Utalii Ili kuwa Endelevu na kuifanya Zanzibar kuwa Kituo Muhimu cha Utalii kinachotambulika na…
Victor Tesha aongoza mageuzi mapya sekta ya madini baada ya kung’ara kwenye ubunifu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kumuamini Victor Tesha kama mmoja wa viongozi vijana wenye uwezo wa kusimamia mageuzi makubwa ya kitaifa, kufuatia uteuzi wake mpya kuwa Mwenyekiti wa Timu Maalum…
LATRA yabainisha mafanikio kuanza kwa safari za saa 24
*Kuna ongezeko la leseni zitolewazo kwa madereva. *Kuanza kwa safari za saa 24 kumeketa mafnikio, wengi wasafiri usiku *Uimarishwaji wa miundombinu ya barabara. Na Lookman Miraji Mamlaka ya usimamizi wa usafiri wa ardhini nchini LATRA imeelezea tathmini ya mafanikio ya…
LATRA yaeleza mafanikio ndani ya miaka minne ya Serikali Awamu ya Sita
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imewasilisha mafanikio yake makubwa yaliyopatikana kuanzia Februari 2021 hadi Machi 2025 katika kikao kilicholenga kutoa taarifa juu ya utekelezaji wa majukumu ya LATRA ndani ya miaka minne…
Watakiwa kuwapuuza wanasiasa wanaotaka wasusie Uchaguzi Mkuu
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro amewataka Watanzania kupuuza maneno ya wa wanasiasa wanaopita maeneo mbalimbali nchini na kueneza habari za uchochezi kuhusu Uchaguzi Mkuu. Ndumbaro amesema kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeeleza sababu zinazoweza…