JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mulamula:Tanzania kupambana na athari za mabadiliko ya tabianchi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula amesema azma ya Serikali ya Tanzania ya kupambana na athari za mabadiliko ya tabianchi iko pale pale ndio maana inaandaa inafanya jitihada mbalimbali za kuhakikisha changamoto hiyo…

RC Ruvuma azindua Baraza la Wazee

Na Albano Midelo,JamhuriMedia,Ruvuma Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amezindua Baraza la Wazee Mkoa wa Ruvuma katika hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Songea Klabu. Akizungumza kabla ya uzinduzi huo,Kanali Thomas amesema serikali imekuwa ikitoa huduma kwa wazee kwa…

Basi la Super Najimunisa yaua watano, majeruhi 54 mkoani Shinyanga

WATU watano wamekufa huku 54 wakijeruhiwa katika ajali ya basi lililogongana na fuso uso kwa uso eneo la Ibadakuli Manispaa ya Shinyanga. Ajali hiyo imetokea leo Jumamosi Septemba 3,2022 majira ya Saa 8 usiku, ikihusisha basi Kampuni ya Super Najimunisa…

Waziri Bashe awataka wakulima kununua mbolea kulingana na mahitaji

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amewataka wakulima kununua mbolea kulingana na mahitaji yao kwani hakutakuwa na upungufu wa bidhaa hiyo kwa msimu wote wa kilimo wa 2022/2023. Ametoa kauli hiyo jana Septemba 2, 2022 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari…

Jedwali la uchambuzi wa sheria ndogo lakabidhiwa kwa Simbachawane

Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu George Simbachawene amepokea Jedwali la Uchambuzi wa Sheria Ndogo zilizowasilishwa katika Mkutano wa Bunge wa Saba kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Ramadhani Suleiman….

Rais Dkt.Mwinyi aridhia kujiuzulu kwa Mkurugenzi Mkuu wa ZAECA

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi leo amekubali barua ya kujiuzulu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA), ACP Ahmed Khamis Makarani. Hayo ni kwa…