JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali yatangaza kikosi kazi cha ufuatiliaji utoaji mikopo ya elimu

Na Mathias Canal,JamhuriMedia,Dar Timu ya watu watano imeanza kazi rasmi leo tarehe 5 Septemba 2022 ya kufuatilia utoaji mikopo kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka 2017/2018 hadi mwaka 2021/2022. Timu hiyo itakayofanya kazi ndani ya mwezi mmoja itaongozwa na…

Tamasha la JAMAFEST linasaidia kukuza ushirikiano wa kikanda

Na Eleuteri Mangi,JamhuriMedia,Bunjumbura Tanzania inashiriki Tamasha la Tano la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) 2022 ambalo linafanyika nchini Bujumbura Burundi likiongozwa na Kaulimbiu “Kutumia Rasilimali za Kiutamaduni kukabiliana na Athari za UVIKO-19 kwa Nchi za Jumuiya…

Azam FC yapata kocha mpya anayeijua soka la Afrika

Matajiri wa jiji la Dar es Salaam kutoka Chamazi Timu ya Azam FC Mwaka huu wamedhamiria baada ya kumleta kocha mwenye Makombe huku akiwa analijua zaidi Soka la Afrika Denis Lavagne,kutoka nchini Ufaransa. Kocha huyo raia wa Ufaransa, mwenye wasifu…

Kinana apokea lundo la malalamiko ya wavuvi ziwa Victoria

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mwanza MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amepokea malalamiko 13 ya wavuvi wa samaki katika Ziwa Victoria ikiwemo utitiri wa kodi pamoja na mateso wanayoyapata wavuvi wanapokuwa ziwani ambapo yote hayo…