JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ruto tayari ni Rais wa Awamu ya Tano Kenya

Dkt.William Ruto ameapishwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa Kenya leo Jumanne Septemba 13,2022 katika uwanja wa Karasani jijini Nairobi. Ruto ameapishwa na Jaji Mkuu Martha Koome kuchukua nafasi ya Uhuru Kenyatta,ambaye amemaliza muda wake wa utawala wa miaka…

‘Haki ya faragha kwa wafunga na wenza wao kutolewa’

Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali ya Tanzania imesema haki ya faragha kwa wafungwa na wenza wao itaanza kutolewa pale ambapo sheria na miundombinu ya magereza itakapokidhi kutolewa kwa haki hiyo. Kauli hiyo imetolewa bungeni na Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad…

Mwanafunzi kidato cha tatu ajiua kwa kujipiga risasi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Kilimanjaro Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari St.Mary Goreti iliyopo Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro Robert Meier (17), amejiua kwa kujipiga risasi na kuacha ujumbe mwili wake uchomwe. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro,…