JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Makinda: Sensa ya 2032 inategemea kujikosoa kwa sensa ya 2022

Kamisaa wa Sensa Anne Makinda ameeleza ,Maandalizi ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2032 inategemea mafanikio na ufumbuzi wa changamoto zilizojitokeza sensa ya mwaka 2022 ili kuleta matokeo chanya. Ameelezea kwamba,ameshukuru Sensa hii imefanywa kwa uzalendo na wananchi…

NEMC yateketeza tani 44.4 ya mifuko iliyopigwa marufuku

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeteketeza vifungashio tani 44.4 ambavyo vimepigwa marufuku kwa matumizi, ambapo uteketezaji huo umefanyika katika kiwanda cha Saruji cha Twiga Cement Jijini Dar es Salaam. Akizungumza katika zoezi hilo ambalo limefanyika…

Ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua mkewe aliyemnyima ‘unyumba’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Katavi imehukumu Titus Malambwa (28), mkazi wa Kijiji cha Ntibili Mpimbwe Wilaya ya Mlele, Mkoa wa Katavi kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mke wake kwa makusudi wakati wakiwa…

TCRA:Kuna ongezeko kubwa la watumiaji huduma za kifedha mtandaoni

•Asilimia 41 hutumia huduma za kifedha kwa mtandao Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Matarajio ya Tanzania kujenga uchumi jumuishi yanaonyesha nuru baada ya takwimu zilizotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kuonyesha ongezeko kubwa la watumiaji wa huduma za kifedha…

Balaa Magomeni Kota

Na Alex Kazenga,JamhuriMedia, Dar Licha ya ahadi ya serikali ya kuwapa kipaumbele wakazi ‘asilia’ wa Magomeni Kota kupata makazi katika majengo ya kisasa, takriban familia 21 zimetoswa; JAMHURI limebaini. Familia hizo ni miongoni mwa 644 zilizolazimika kulihama eneo la Magomeni…