JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania yapongezwa kuwa mwanachama hai wa Umoja wa Afrika

Pongezi hizo zimetolewa na Makamu Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, MMonique Nsanzabaganwa alipokutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula pembezoni mwa Mkutano wa Wanawake na Vijana katika…

Serikali yazungumzia ongezeko la bei ya mahindi, mchele

Serikali imesema kuwa matokeo ya tathmini iliyofanywa katika kipindi cha mwezi Agosti 15 hadi na Septemba 15, mwaka huu yamebainisha ongezeko dogo katika baadhi ya bidhaa za vyakula hususan mchele, mahindi, na maharage. Aidha, kupanda kwa bei za bidhaa hizo…

Kinana atamani viongozi kuitwa ndugu na sio Mheshimiwa

Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia,Dar Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amewahamasisha viongozi wa Chama hicho kwa ngazi mbalimbali kujenga utamaduni wa kuwatembelea na kuwatambua viongozi wa Shina, Tawi na Kata pamoja na kushiriki vikao vya Chama…

Bashungwa asisitiza maelekezo ya Serikali kuhusu wafanyabiashara

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amewasisitiza Wakuu wa Mikoa kuendelea kushirikiana na Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Majiji na Manispaaa kuendelea na zoezi la kutafuta maeneo rafiki ya kujenga…

Wananchi Monduli waomba uzio kulinda vyanzo vya maji

Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Monduli Wananchi wa Kata ya Selela na Engaruka wilayani Monduli mkoa Arusha,wameomba serikali kuwasaidia kuweka uzio katika vyanzo vya maji vya asili katika maeneo yao ili visiendelee kuharibiwa na wanyamapori. Kata hizo zina vyanzo vya maji vya asili ambazo…

SIKU YA DEMOKRASIA DUNIANI

‘Tusubiri maoni,mapendezo juu ya marekebisho ya Sheria na Kanuni’ Na Rais Samia Suluhu Hassan Mwaka 2007, Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa ulifanya uamuzi wa kuzitaka nchi duniani kuadhimisha siku ya Demokrasia kila ifikapo tarehe 15 Septemba, ya kila mwaka….