JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wachangishwa 60,000/ kwa kila kaya ili kujenga zahanati, RC aingilia kati

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Simanjiro Mkuu wa Mkoa wa Manyara,Charles Makongoro Nyerere ameiagiza Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) kuchunguza mashamba yaliyouzwa na kugawanywa kwa wananchi na kuchangishwa sh60,000 kila kaya kwa ajili ya ujenzi wa zahanati. Makongoro akizungumza na…

Waziri:Utaratibu wa kuoa au kuolewa ni miaka sita JWTZ

Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema haina mpango wa kubadili utaratibu uliowekwa kwa askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wa kukaa miaka sita bila kuoa ama kuolewa mara baada ya kujiunga na jeshi hilo. Waziri wa Ulinzi…

Halmashauri zatakiwa kuainisha maeneo ujenzi wa vituo vya afya

Na Asila Twaha,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imezielekeza Halmashauri zote nchini kuanisha maeneo ya kimkakati ili ujenzi wa vituo vya afya vijengwe katika maeneo hayo na kurahisisha upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala…

Ndalichako:Rais Samia amedhamiria kutatua changamoto za wafanyakazi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Prof. Joyce Ndalichako amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan imedhamiria kutatua changamoto za wafanyakazi ili kuboresha…

Mnyika:Mfumo wa vyama vingi ulitolewa kama zawadi na CCM

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Katibu Mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha (CHADEMA), John Mnyika amewataka Watanzania kuendelea kupigania katiba mpya kwa sababu ndiyo mkombozi. Hayo ameyasema jijini Dar es Salaam wakati wa kongamano la maadhimisho ya siku ya…