JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Hawa hapa wachezaji waliowahi kucheza Real Madrid na Atletico

Na Wilson Malima,JamhuriMedia Wachezaji ambao wamewahi kuchezea Real Madrid na Atletco de Madrid, kwa vipindi tofauti kuelekea dabi ya Madrid. Katika msimu wa 2022/23 wa LaLiga Santander, kuna wachezaji kadhaa ambao wamebahatika kucheza mechi ya Atlético dhidi ya Real Madrid, wakiwa na…

Rais Samia amlilia Balozi Paul Rupia

Balozi Rupia (86) amefariki leo asubuhi nchini Afrika Kusini ambapo amewahi kushika nyadhifa mbalimbali kama ofisa katika Wizara ya Mambo ya Nje katika nchi mbalimbali. Pia, aliwahi kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa…

Wanne wahukumiwa kunyongwa kwa kuwaua Polisi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora Mahakama ya Kuu Kanda ya Tabora imewahukumu watu wanne kunyongwa hadi kufa kwa tuhuma za kuwaua askari wawili wa Jeshi la Polisi wa kituo cha Usoke wilayani Urambo mkoani Tabora. Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi wa…

Operesheni Maalumu yawanasa 100 Temeke

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amesema kuwa hatokubali wilaya yake iingie katika dosari kutokana na baadhi ya watendaji wasioowaminifu kushindwa kutoa ushirikiano katika msako mkali unaoendelea jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo Septemba 16,2022,Jokate…

Gekul:Ujenzi wa viwanda vya michezo ni jukumu la Serikali na wadau

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Pauline Gekul amesema ujenzi na uendelezaji wa miundombinu ya michezo ni jukumu la Serikali Kuu, Mamlaka ya Serikali za Mitaa, Taasisi , Mashirika ya Umma na Wadau wa michezo. Amesema hayo leo Septemba…