JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kewanja FC yaibuka kidedea Kombe la Mahusiano Barrick North Mara

Timu ya Kewanja FC imetwaa ubingwa wa Mashindano ya Soka ya Kombe la Mahusiano “Mahusiano Cup” baada ya kuichapa Murito FC bao 1-0 katika mchezo wa fainali. Fainali hiyo ilichezwa kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Ingwe mjini Nyamongo…

‘Panya road’ 135 wakamatwa,runinga 23 zikiwemo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC),Amos Makala amesema kuwa katika operesheni imewakamata wahalifu 135 pamoja na vitu mbalimbali vya wizi ikiwemo runinga 23. Akizungumza leo Septemba 19, 2022 jijini Dar es Salaam, amesema kuwa watuhumiwa hao wamekamatwa katika…

Waziri Mkuu awataka mabalozi wahamasishe uwekezaji

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali waweke msisitizo katika utekelezaji wa diplomasia ya uchumi na kuhamasisha zaidi upatikanaji wa masoko wa bidhaa za ndani na uwekezaji. Amesema kuwa maboresho ya sera na mfumo wa uwekezaji…

Waliovamia msitu wa Bondo watakiwa kuondoka

Wananchi waliovamia Hifadhi ya Msitu wa Bondo wametakiwa kuondoka ndani ya hifadhi hiyo ifikapo Desemba 30,2022. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja (Mb) kwa niaba ya Waziri wa Maliasili na Utalii, alipokuwa akijibu swali la mbunge…

Global Fund yaunga mkono Serikali kukabiliana na magonjwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu amekutana na kufanya mazungumzo na Meneja Mkaguzi kutoka Mfuko wa Kimataifa wa Kupiga Vita UKIMWI, TB na Malaria (GLOBAL FUND), Andrew Hammond ofisini kwake jijini…