JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Akamatwa akisafirisha gunia 10 za mirungi

Na Abel Paul,JamhuriMedia,Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa mmoja anayesafirisha madawa ya kulevya aina mirungi katika Jiji la Arusha. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Kamishina wa msaidizi wa Polisi ACP ,Justine Masejo, amesema kuwa Septemba…

Serikali yaweka mikakati kudhibiti viashiria vyote vya uvunjifu wa amani

. ……………………………….. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watendaji wote Serikalini kuweka mkakati wa kudhibiti viashiria vyote vya uvunjifu wa amani katika maeneo yao. Majaliwa amesema lengo la agizo ni kusisitiza utekelezwaji wa maono na dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan…

Waziri Mkuu Majaliwa akaimu Urais

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekaimu Urais wa Tanzania tangu Septemba 17, 2022 hadi Rais Samia Suluhu Hassan atakaporejea nchini, JAMHURI DIGITAL imeambiwa. Rais Samia aliondoka nchini Septemba 17, 2022 kwenda kushiriki maziko ya Malkia…