JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

ACT-Wazalendo: Tunahitaji mradi wa bomba la mafuta uendelee

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimelitaka Bunge la Ulaya kuondoa azimio la kutaka kusitishwa kwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga. Msemaji wa Sekta ya Madini katika chama hicho, Isihaka…

Takribani watoto 800 hugundulika kuwa na saratani kila mwaka

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu leo Septemba 23,2022 ameweka wazi kuwa, kila mwaka takriban watoto 800 hugundulika kuwa na ugonjwa wa Saratani nchini Tanzania hivyo kuchangia ongezeko la vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Waziri Ummy amesema hayo katika kikao na…

Rais Samia aidhinisha bilioni 150/- za ruzuku ya mbolea

Waziri Mkuuu Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameidhinisha shilingi bilioni 150 kutumika kwa ajili ya ruzuku ya mbolea ili kuwezesha upatikanaji wa bidhaa hiyo kwa wingi na kwa gharama nafuu. Majaliwa amesema katika msimu wa 2022/2023, utoaji wa…

Mpango:Meza za mazungumzo chombo bora cha kutatua migogoro duniani

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amehutubia Mkutano wa Baraza Kuu la 77 la Umoja wa Mataifa (UNGA) unaondelea Jijini New York nchini Marekani. Makamu wa Rais ametoa hotuba hiyo akimwakilisha Rais wa Jamhuri…

Hawa ndio wawakilishi wa Tanzania Bunge la Afrika Mashariki

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson leo Septemba 22,2022 amewatangaza washindi tisa walioibuka na ushindi kwenye uchaguzi wa wabunge wa Afrika Mashariki (EALA), kati ya wagombea 20 uliofanyika bungeni, jijini Dodoma Akitangaza Majina ya…

Madaktari bingwa kutoka China watua Hospitali ya Rufaa Mbeya

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya(MZRH), imepokea Madaktari bingwa wanne kutoka Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China ambao wanatarajiwa kutoa huduma mbalimbali za kibobezi, ikiwemo za upasuaji kwa kushirikiana na Madaktari wa Hospitali hiyo. Akizungumza ofisini kwake mapema leo…