JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TAUS:Kuna uhaba wa madaktari bingwa wa upasuaji maradhi ya mkojo,uzazi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Arusha Tanzania inakabiliwa na uhaba wa madaktari bingwa wa upasuaji wa maradhi ya njia ya mkojo na uzazi ambapo waliopo ni 100 tu ambao hawakidhi mahitaji kulingana na idadi ya wagonjwa hao waliopo. Hayo yamesemwa jijini Arusha…

Tanzania yaanza kufikia mabadiliko endelevu ya kidijitali

Na Innocent Mungy,JamhuriMedia,Bucharest Tanzania inatekeleza mfumo wa Taifa wa Uchumi wa Kidijitali, ambao utahakikisha sekta zote za uchumi zinatumia TEHAMA huku ikiwezesha mabadiliko ya kidijitali yanayojenga jamii jumuishi ya kidijitali kwa ajili ya maendeleo endelevu. Hayo yalisemwa na Mheshimiwa Nape…

Bondia Class atamba kumchapa Mmexco

Bondia wa Tanzania Ibrahim Class anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa mpinzani wake kutoka Mexico, Gustavo Pina katika pambano la kimataifa la uzito wa feather litakalofanyika kesho (Septemba 30) kwenye ukumbi wa Mlimani City. Akizungumza mara baada ya kupima uzito…

RC Shigela:Akagua mradi wa ujenzi wa hospitali,aipongeza TBA

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Geita Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martin Shigela amefanya ziara ya Kutembelea na kukagua maendeleo ya Mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda – Chato ambao unatekelezwa kwa awamu. Akizungumza mara baada kukagua mradi huo…

‘Viwanda vinavyotekeleza shughuli zake bila taratibu vichukuliwe hatua’

KAMATI ya Kudumu ya Bunge Viwanda, Biashara na Mazingira imeitaka Serikali kuvichukulia hatua za kisheria Viwanda vyote vinavyotekeleza shughuli zake bila kufuata taratibu za kimazingira. Agizo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo David Kihenzile mara baada ya ziara ya…

NHC lajipanga kutekeleza mradi wa Samia Housing Scheme

Shirika la Nyumba la Taifa limejipanga kutekeleza mradi wa Samia Housing Scheme unaotarajia kujenga nyumba zaidi ya 5000 na kuzalisha ajira zaidi ya Elfu Ishirini na Sita. Hayo yameelezwa na Daniel Kure Afisa Mauzo na Masoko Mwandamizi kutoka Shirika la…