JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Sauti programu kuzalisha mifugo bora kwa soko la ndani na nje

Programu ya Samia Ufugaji kwa Tija inakwenda kumaliza changamoto ya upatikanaji wa mifugo bora inayohitajika kwa ajili ya soko la ndani na nje ya nchi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Mashimba Ndaki wakati anazungumza na vijana waliochaguliwa kujiunga…

Tanzania yashiriki ufunguzi Kombe Dunia kwa watu wenye ulemavu

Matukio katika picha yakionesha Shamrashamra katika uwanja wa Ulker uliopo nchini Uturuki kwenye hafla ya ufunguzi rasmi wa Mashindano ya Kombe la Dunia kwa watu wenye ulemavu jana. Timu kutoka Tanzania Tembo Warriors ambayo ilifuzu kucheza mashindano hayo nayo imeshiriki…

Idadi ya mapato ya watalii nchini yazidi kuongezeka

Idadi ya mapato yatokanayo na utalii imeongezeka kutoka Dola za Kimarekani milioni 714.59 kwa mwaka 2020 hadi kufikia Dola za Kimarekani milioni 1,310.34 kwa mwaka 2021. Taarifa hiyo imetolewa leo Ijumaa Septemba 30, 2022 Jijini Arusha na Mwenyekiti wa Kamati…

Mtoto wa mwezi mmoja afanyiwa upasuaji hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mtwara

Na Mwandishi Wet,JamhuriMedia,Mtwara Mtoto wa mwezi mmoja (Sinaini Mussa Kalokole) amefanyiwa upasuaji wa kichwa katika hospitali ya rufaa ya kanda Mtwara kwa ushirikiano kati ya Madaktari bingwa wa MOI pamoja na wa hospitali hiyo (SZRH). Upasuaji huo ni sehemu ya…

Tanzania, India kuongeza ushirikiano sekta ya filamu

Serikali ya Tanzania pamoja na Serikali ya India zimekubaliana kuongeza maeneo mapya ya ushirikiano ikiwemo sekta ya filamu. Akifungua Mkutano wa Kimataifa wa Ushirikiano baina ya Tanzania na India leo Jijini Dar es Salaam, Waziri wa Mambo ya Nje na…

Watano wahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Mahakama Kuu, Kanda ya Tabora nchini Tanzania, leo Ijumaa Septemba 30, 2022 imewahukumu kunyongwa hadi kufa watuhumiwa watano ambao ni wakazi wa Wilaya ya Igunga, Mkoa wa Tabora. Ni baada ya kuwatia hatiani kwa kosa…