JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TAMISEMI na Wataalam wa ardhi watakiwa kujipanga kutatua changamoto

Na Anthony Ishengoma na Munir Shemweta,Dodoma Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angeline Mabula, amewataka wakurugenzi wa Halmashauri nchini kujipanga na kufanya kazi kwa pamoja na wataalamu wa ardhi ili kuondoa changamoto zinazojitokeza katika utendaji kazi na…

Daktari Mtanzania afariki kwa maambukizi ya Ebola Uganda

Daktari raia wa Tanzania mwenye umri wa miaka 37 ambaye amekuwa akisomea Shahada ya Uzamili ya Udaktari katika Upasuaji katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola, Chama cha Madaktari wa Upasuaji Uganda kimetangaza….

Mkandarasi Songea achangia mufuko 20 ya saruji shule ya msingi Makambi

Na Julius Konala,JamhuriMedia,Songea Katika kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan za kuboresha majengo ya shule hapa Nchini,mkurugenzi wa kampuni ya ukandarasi ya GAJOVU Joseph Ngonyani(WAYA)amechangia mifuko 20 ya saruji yenye thamani ya zaidi ya shilingi 300,000 kwa ajili…

Waziri Mkuu:Wizara ya afya ishirikishe kuchangia huduma za tiba

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameiagiza Wizara ya Afya iendelee kuhamasisha taasisi, na wadau kuchangia maeneo muhimu kama ya afya hasa yanayogusa jamii ikiwemo fistula, na saratani ambayo yanasumbua jamii. “Suala la kuchangia maendeleo na utatuzi wa changamoto za jamii ni…

Askari uhifadhi wa TANAPA 97 wahitimu mafunzo Namtumbo

Askari wahifadhi wa TANAPA 97 wamehitimu mafunzo ya aina tatu tofauti katika chuo cha Uhifadhi Maliasili Jamii cha Likuyu Sekamaganga wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma. Akitoa taarifa ya mafunzo hayo kwenye hafla ya ufungaji mafunzo hayo iliyofanyika kwenye viwanja vya chuo…

Biteko aagiza mradi wa Kabanga Nickel kuanza ulipaji fidia

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kagera Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko ameiagiza Kampuni ya Tembo Nickel inayomiliki mradi wa uchimbaji Madini ya Nikeli kulipa fidia wananchi watakaopisha eneo la mradi ambao uthaminishaji wa maeneo yao umekamilika. Dkt.Biteko ametoa agizo hilo alipotembelea mradi…