JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania yachaguliwa katika Baraza Kuu la ITU 2023-2026

Na Innocent Mungy,JamhuriMedia,Bucharest Tanzania imechaguliwa miongoni mwa nchi 48 kati ya nchi 193 wanachama wa ITU kuwa katika Baraza la Shirika la Mawasiliano duniani – International Telecommunication Union (ITU) kwa mwaka 2023 hadi 2026. Tanzania ni miongoni mwa nchi 13…

TAMISEMI Queens yaanza vyema mchezo wa kuvuta kamba SHIMIWI

TAMISEMI Queens wameanza vizuri mechi yao ya mchezo wa kuvuta kamba kwa kuwashinda pointi 2-0 Wizara ya Mambo ya Nje katika mshindano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali Tanzania (SHIMIWI) yanayoendelea Jijini Tanga. Mechi hiyo iliyochezwa…

KMC FC yaanza kujifua dhidi ya Ruvu Shooting

Kikosi cha Timu ya KMC FC kimerejea Jijini Dar es Salaam na mazoezi kwa ajili ya mchezo unaofuata dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa siku ya Ijuma OKtoba 07 katika uwanja wa Uhuru hapa Jijini Dar es Salaam. Timu hiyo ya…