JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mil.300/- za wasanii zilizodhulumiwa zarejeshwa akiwemo marehemu King Majuto

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bodi ya Filamu Tanzania imeunda kamati maalum ya kuhamasisha Watanzania kurejesha utamaduni wa kuangalia filamu katika kumbi za sinema. Hayo yamebainishwa na Katibu Mtendaji wa Bodi hiyo, Dkt. Kiagho Kilonzo leo Jumanne Oktoba 4, 2022…

Amchoma moto mwanaye kwa kudokoa mboga

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mtwara Mkazi wa Kijijii cha Namanjele mkoani Mtwara,Somoe Mohamed anatuhumiwa kumchoma moto mtoto wake wa umri wa miaka mitano kwa madai ya kudokoa mboga. Kwa mujibu wa majirani (jina linahifadhiwa),amesema kuwa wakati akiendelea kufua nyumbani kwake alisikia kilio…

Wanaume wapigana na kuuana kwa kugombea mwanamke

Wanaume wawili ambao ni wakazi wa Kijiji cha Mkangaula , Kata ya Namalenga wilayani Masasi mkoani Mtwara wameuana kwa kupigana kwa kutumia magongo kwa kugombea mwanamke ambaye kila mmoja alidai ni mpenzi wake. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa…

NEC yawaburuza Bunge michezo ya SHIMIWI

Michuano Shirikisho la Michezo ya Wiraza na Idara za Serikali na Mikoa (SHIMIWI) imezidi kurindima katika viunga vya jiji la Tanga ambapo Timu za Kamba za Tume ya Taifa ya Uchaguzi zimeendeleza ubabe wao kwa timu za kundi E wanaume…

Papa Francis amtunuku Mtanzania Nishani ya Heshima

Baba Mtakatifu Papa Francis amtunuku Padre Richard Mjigwa, C.PP.S., kutoka Tanzania Nishani ya Msalaba wa Kanisa na Papa kutokana na huduma ya mawasiliano ya kanisa kupitia Radio Vatican Idhaa ya Kiswahili. Padre Mjigwa pia anahudumu katika Baraza la Kipapa la…

Prof. Kabudi: Sh trilioni
360 haikuwa kodi halali

*Asema zilikuwa mbinu za majadiliano, ataja tishio la Acacia*Afafanua suala hilo limekwisha,atamtafuta Mwigulu amweleze Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mpatanishi Mkuu wa Serikali (Chief Government Negotiator), Profesa Palamagamba Kabudi, amesema Dola bilioni 190 za Marekani sawa na Sh trilioni 360 walizotakiwa kulipa…