JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kliniki ya matibabu ya moyo jioni ni fursa nyingine kwa Watanzania

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imeanzisha kliniki ya matibabu ya moyo inayoanza saa kumi jioni hadi saa mbili usiku ili kutoa nafasi kwa wagonjwa walioshindwa kufika kliniki za asubini kupata huduma. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa…

Wawili washikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mwanafunzi Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wakazi wawili wa mkoani Dodoma wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za mauaji ya mwanafunzi wa shule ya msingi Mtumba, Farida Makuya (16) ambaye alitakiwa kufanya mitihani jana. Inadaiwa alipigwa na kitu kizito kichwani wakati mama…

Uzembe wa madereva wasababisha vifo vya Watanzania 3545

Na Willson Malima,JamhuriMedia, Dar Jeshi la Polisi limetoa taarifa ya ajali ya kipindi cha mwaka 2020 hadi Agosti 2022 ambapo imesema kuwa kwa kipindi hicho kulikuwa na ajali 4589 iliyosababisha jumla ya vifo 3545 na majeruhi 58694. Hayo yamebainishwa leo…

Uzembe wa madereva wasababisha vifo vya Watanzania 3545

Na Willson Malima,JamhuriMedia, Dar Jeshi la Polisi limetoa taarifa ya ajali ya kipindi cha mwaka 2020 hadi Agosti 2022 ambapo imesema kuwa kwa kipindi hicho kulikuwa na ajali 4589 iliyosababisha jumla ya vifo 3545 na majeruhi 58694. Hayo yamebainishwa leo…

‘Panya road’ 40 wapandishiwa kizimbani

Washtakiwa 40 akiwemo Lubea Manzi ambaye ni maarufu kwa jina la ‘Master’ ‘ wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaa kwa makosa ya unyan’anyi kwa kutumia silaha mbalimbali. Washtakiwa hao maarufu kwa jina la ‘Panya road…