JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali yaimarisha mafunzo ya umahiri wa bidhaa za ngozi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mwanza Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inaendelea na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo cha umahiri katika sekta ndogo ya ngozi. Kituo hicho kinachojengwa katika Chuo cha Teknolojia cha Dar es Salaam (DIT) kampasi…

‘Tufanye mazoezi ili kujikinga na maradhi ya afya ya akili’

Na Rahma Khamis,JamhuriMedia,Zanzibar Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar Dkt. Salim Slim amesema ni vyema jamii kuweka mfumo madhubuti wa kufanya mazoezi ili kujikinga na maradhi mbalimbali ikiwemo magonjwa ya afya ya akili. Ushauri huo ameutoa huko Kinazini mara…

JK aonesha picha za wazai wake

Na Issa Michuzi,JamhuriMedia Akiwa katika mahojiano katika kipindi maalumu cha kuadhimisha miaka 72 ya kuzaliwa cha JK72 na watangazaji wa Clouds FM na Clouds TV, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho…

Rais Ruto kuwasili nchini kesho

Rais wa Kenya, William Ruto kesho ataanza ziara ya siku mbili nchini, tangu alipoapishwa Septemba 13, mwaka huu kuwa rasi wa tano wa nchi hiyo. Tangu alipoapishwa, Rais Ruto ametembelea nchi tatu tofauti, ikiwamo Uingereza alikokwenda kuhudhuria maziko ya Malkia…

WHO:Afrika ina idadi kubwa ya watu wanaojiua

Shirika la Afya Duniani limesema Afrika ina kiwango kikubwa zaidi cha watu wanaojiua duniani. Shirika hilo sasa limezindua kampeni ya mitandao ya kijamii ya kuzuia watu kujitoa uhai katika eneo hilo, ili kuongeza ufahamu juu ya suala hilo. Katika taarifa…

Kituo cha kutibu magonjwa ya milipuko kujengwa Kagera

Na Catherine Sungura,JamhuriMedia,Kagera Serikali inatarajia kujenga kituo maalumu cha matibabu ya magonjwa ya milipuko mkoani Kagera. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu wakati wa kikao cha kuhitimisha ziara yake ya kikazi ya kujionea utayari wa kukabiliana na…