JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serengeti Boys yatinga nusu fainali CECAFA

TIMU ya taifa ya Tanzania imefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya michuano ya CECAFA U17 baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Somalia jana Uwanja wa Abebe Bikila Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia. Mabao ya Serengeti Boys katika mchezo huo wa…

TAMCODE yashauri adhabu ya kifo iondolewe

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Shirika la Vyombo vya Habari kwa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TAMCODE) limetoa wito kwa Majaji kutoa hukumu ya kifungo cha maisha kwa washtakiwa wa mauaji badala ya kifo ili kuokoa watu wasiokuwa na hatia. Akizungumza na Waandishi…

Wenye umri wa Miaka 50-59 wanogesha riadha SHIMIWI

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tanga Mchezo wa riadha watu wazima wenye umri wa miaka 50-59 umekuwa kivutio katika Mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara, Idara za Serikali, Wakala na Mikoa (SHIMIWI) inayoendelea jijini Tanga. Usemi wa “Yake ni dhahabu” umejidhihirika katika…

Tanzania,Kenya wakubaliana kuondoa vikwazo 14 vya kibiashara

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Kenya, William Ruto wamekubaliana kuondoa vikwazo 54 kati ya 68 ambavyo vilikuwa vikichangia kukwamisha biashara kati ya nchi hizo. leo Jumatatu Oktoba 10, 2022 Ikulu Dar es Salaam…