JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serengeti girls waendelea kujifua kuikabili Ufaransa

Timu ya Taifa ya Wasichana chini ya miaka 17 (Serengeti Girls) imeendelea na mazoezi Katika Uwanja wa Utorda Goa India. Serengeti Girls ilianza na mazoezi ya asubuhi katika fukwe zilizopo eneo la Utorda na baadae katika uwanja wa eneo hilo….

Kamati ya mawaziri yajionea uvamizi kwenye chanzo cha maji Katavi

Na Munir Shemweta,JamhuriMedia,Katavi Kamati ya Mawaziri wa Wizara za Kisekta imetembelea maeneo ya hifadhi na chanzo cha maji katika mkoa wa Katavi kujionea hali ya uvamizi wa maeneo hayo na kuelekeza wananchi waliovamia maeneo hayo kutofanya maendelezo mpaka hapo timu…

Wizara yaanza kampeni mkoa kwa mkoa kupambana na ukatili

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Wizara za Kisekta na wadau wa Maendeleo imeanza Kampeni maalum ya Mkoa kwa mkoa kupambana na vitendo vya ukatili. Akizungumza wakati wa Kilele cha Kampeni ya kupinga…

Arusha yaanza kuchukua tahadhari mlipuko wa Ebola

Mkoa wa Arusha umeanza kuchukua tahadhari ya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola kutokana na kuwa na muingiliano mkubwa wa wageni kutoka nchini Uganda kulikoripotiwa kuwa na ugonjwa huo. Akizungumza na kamati ya afya ya msingi katika kuweka utayari…