JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Madereva wa bajaji wapewa mwongozo wa utendajikazi Arusha

Na Abel Paul,JamhuriMedia,Arusha Uongozi wa Wilaya ya Arusha umewaka waenda Pikipiki za mataili matatu maarufu bajaji kufuata utaratibu na kuweka mipango mathubuti wa uendeshaji wa shughuli zao katika jiji la Arusha ambapo wametakiwa kujisajili na kuweka uongozi imara ili kuondoa…

Watoto 64 wafanyiwa upasuaji wa moyo, Serikali yaokoa bilioni 1.6/-

Watoto 64 wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wamefanyiwa upasuaji katika kambi maalum ya matibabu ya siku sita iliyomalizika jana katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Watoto hao walikuwa na matatizo ya matundu…