JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wananchi Manispaa ya Songea waiangukia TANROADS

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea WAKAZI wa Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma wameiomba Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuona umuhimu wa kuharakisha ujenzi wa Barabara ya Mtwara Corrido (Songea by Pass) ambayo itasaidia kuondoa msongamano wa maroli katikati ya mji…

Serikali:Kila la heri Serengeti Girls

Na Shamimu Nyaki,JamhuriMedia Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Pauline Gekul ameitakia kila la heri Timu ya Wasichana chini ya miaka 17, (Serengeti Girls) katika mechi ya mwisho ya Kundi D dhidi ya Canada, itakayochezwa leo, Uwanja wa DY…

Sheria maalumu ya kulinda maeneo ya kilimo mbioni kutungwa

Na Munir Shemweta,JamhuriMedia, Simiyu Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amesema serikali ipo njiani kutunga sheria maalum kwa ajili ya kilimo ili kulinda maeneo yote yanayofaa kwa kilimo katika azma yake ya kukuza sekta ya kilimo nchini. Naibu Waziri Mavunde…

Mabadiliko tabia nchi yachangia kuua mifugo,wanyamapori Longido

Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Arusha Mabadiliko ya tabia nchi,yameua mifugo na wanyamapori zaidi ya 38,72 kwa kukosa maji na malisho, wilaya ya Longido mkoa wa Arusha. Afisa Mifugo na Mabadiliko ya tabia nchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido,Nestory Daqarro alitoa taarifa hiyo,…

Mpango atoa pole msiba wa dada wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo tarehe 17 Oktoba 2022 ameshiriki ibada ya kuaga mwili wa Bi.Grace Makalla ambaye ni Dada wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla, Ibada iliofanyika…