JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

RC Ruvuma awapongeza TARURA kwa ufanisi wa kazi

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Rabani Thomas amewataka Makandarasi wazawa kuonyesha uzalendo wa ufanisi wa kazi pindi wanapopewa kazi za ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo za barabara ili waendelee kuaminiwa kupewa kazi zingine. Wito huo ameutoa…

Rais Samia: Mila,desturi zinawakandamiza wanawake

Rais Samia amesema Tanzania inahitaji Sheria Madhubuti kuhakikisha kuwa wanawake wanashiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo na umiliki wa rasilimali. Rais Samia ameyasema hayo leo kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Afrika WiLDAF…

Balozi Uholanzi aeleza umuhimu wa mabadiliko sheria ya habari

Na Stella Aron, JamhuriMedia,Dar BALOZI wa Uholanzi nchini Tanzania, Wiebe de Boer amelipongeza Jukwaa la Wahariri (TEF),kwa juhudi kubwa za kutoa elimu juu ya umuhimu wa maboresho ya sheria za habari nchini. Akifungua mafunzo kwa wahariri na wanahabari yanayoangazia uchechemuzi…

Marekani, Tanzania zasherehekea mafanikio mapambano dhidi ya malaria

Balozi wa Marekani Dkt. Donald Wright na Waziri wa Afya, Mheshimiwa Ummy Mwalimu, wameshiriki katika hafla ya kusherehekea miaka mitano ya mradi wa Okoa Maisha Dhibiti Malaria (OMDM) na miaka miwili ya mradi wa Impact Malaria. Pia wamezindua miradi miwili…