JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Matumizi holela ya dawa kupoteza mamilioni ya watu duniani

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Imeelezwa kuwa ifikapo mwaka 2030 watu zaidi ya milioni 10 watakufa kwa kila mwaka kutokana na matumizi holela ya dawa za mifugo ambayo yamekuwa yakisabaishwa vimelea vya magonjwa kujenga usugu. Aidha matumizi ya dawa kiholela ya dawa…

Rais Samia asikiliza kilio cha wanasiasa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema sheria ambazo zinahitaji marekebisho madogo zitafanyiwa kazi haraka huku nyingine zitachukua muda kidogo kulingana na muda wa mchakato wa utekelezaji. Rais Samia amesema hayo leo Oktoba 21,2022 Ikuku…

Tanzania yanadi fursa zake za uwekezaji nchini Ureno

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Dkt. Stergomena Tax amesema Serikali ya Tanzania inaendelea kuboresha mazingira ya Uwekezaji na ufanyaji biashara nchini ikiwa ni pamoja na kuzifanyia maboresho baadhi ya sheria za usimamizi wa biashara ili kuongeza…

Serikali: Malaria bado ni changamoto na inaipa mzigo Serikali

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa Malaria bado ni changamoto Tanzania na unaipa mzigo mkubwa Serikali katika utoaji wa huduma za afya. Waziri Ummy amesema hayo jana jijini Dodoma wakati akifunga Mradi wa Okoa Maisha uliokua unatekelezwa katika…