JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Chongolo: Rushwa bado changamoto kwenye chaguzi za CCM

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Katibu Mku wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amewataka makatibu wa chama hicho kuanzia ngazi ya tawi hadi mkoa kuhakikisha wanasimamia vizuri mali za chama ili kukifanya chama hicho kuwa na maendeleo endelevu. Chongolo ametoa agizo…

Rais Samia ateua viongozi mbalimbali

Rais Samia Suluhu Hassan ameteua wenyeviti wa bodi mbalimbali na watendaji katika taasisi mbalimbali hapa nchini. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Oktoba 22, 2022 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zuhura Yunus imesema kuwa ameteua wenye viti wa…

Serikali yapaisha ustawi wa watu wasioona nchini

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imefanikiwa kuwawezesha Watu wasioona hususan katika eneo la Ajira, Michezo na TEHAMA. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (kazi, Ajira, Vijana na Wenye…

‘Maendeleo ni pamoja na kufanyika mabadiliko ya sheria ya habari’

Na Stella Aron,JamhuriMedia,Dar Wadau wa sekta ya habari wamesema kuwa ili kufikia maendeleo chanya katika sekta hiyo ipo haja ya kufanyika kwa marekebisho ya vifungu vya sheria ya habari kandamizi katika sekta hiyo. Hayo yameelezwa na Sylvester Hanga Mshauri Mfawidhi…

‘Tangu uhuru usafiri wetu ulikuwa wa mitumbwi na boti tu’

Na Muhidin Amri,JamhuriMedia,Nyasa Wakazi wa kijiji cha Ndonga, Kata ya Liwundi, Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa, mkoani Ruvuma, wameishukuru Serikali kwa kujenga barabara mpya inayounganisha kijiji hicho na Njambe ambayo imesaidia kuondoa kero za muda mrefu zilizosababishwa na kukosekana kwa…