JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Taasisi za umma,binafsi zapewa siku 30 kulipa pango

Kutokana na kukithiri kwa madeni ya muda mrefu katika sekta ya Ardhi Serikali imezitaka Taasisi za umma na binafsi nchini kutekeleza wajibu wao wa kulipa kodi ya pango la ardhi ndani ya mwezi mmoja kwani jambo hilo limekuwa ni changamoto…

Mgodi wa Stamigold watakiwa kuwasilisha mkakati wa ufungaji wao

Wataalam wa Wizara ya Madini wamefanya ziara katika Mgodi wa dhahabu wa STAMIGOLD uliopo wilayani Biharamulo kwa ajili ya kuangalia mpango wa ufungaji wa mgodi huo. Ziara hiyo imeongozwa na Kamishna Msaidizi anayeshughulikia Mazingira Mhandisi Gilay Shamika. Mgodi wa STAMIGOLD…

TANZIA: Mkurugenzi Utawala na Rasilimali Watu Gerald Mwanilwa afariki

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, anasikitika kutangaza kifo cha Gerald Mwanilwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, kilichotokea tarehe 2 Novemba, 2022 nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu. Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Ilazo,…

NIT yanunua ndege za kufundishia marubani

Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimenunua ndege mbili ambazo zitaanza kutumika kufundisha Marubani ndani ya nchi ili kupunguza gharama za masomo ya fani hiyo. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Prof. Zakaria Mganilwa,wakati akizungumza…

TCRA yataja changamoto zilizopo katika sekta hiyo

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt.Jabiri Bakari,amezitaja changamoto katika sekta hiyo nchini kuwa ni pamoja na uharibifu wa miundombinu ya mawasiliano. Hayo ameyasema leo Novemba 3,2022 jijini Dodoma,wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Utekelezaji wa Shughuli…

China yasemehe baadhi ya madeni Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa Mikataba na Hati za Makubaliano ya kimkakati 15 akiwa pamoja na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Xi Jinping.  Miongoni mwa mikataba hiyo…