Author: Jamhuri
Dahua Teknology yaipongeza serikali ya Rais Samia
Na Mussa Augustine, Jamhuri Kampuni ya Dahua Teknoloji inayojihusisha na uuzaji wa bidhaa mbalimbali ikiwemo vifaa vya ulinzi imesema serikali ya awamu ya sita imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuweka Mazingira rafiki kwa Wawekezaji hali ambayo imechochea Wawekezaji Wengi kuja kuwekeza…
Miili 19 yaagwa Kaitaba,Kijana aliyesadia kuokoa apewa kitita cha fedha
Majeneza yenye miili ya watu 19 waliofariki katika ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Jumapili Novemba 6, 2022 kwa kuzama katika Ziwa Victoria, Bukoba mkoani Kagera. Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamaila ametoa kiasi cha Shilingi Milioni moja…
Majina waliofariki ajali ya ndege haya hapa
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila amesema kuwa idadi ya watu waliofariki kutokana na ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea asubuhi leo katika ziwa Victoria wakati ikitua imeongezeka na kufikia vifo vya watu 19. Amewataja walioopolewa wakiwa wamekufa…
Ummy: Tanzania bado ina uhaba wa madaktari bingwa
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema Tanzania bado ina uhaba mkubwa wa Madaktari Bingwa hivyo uwepo wa mpango wa kambi ya upasuaji wa huduma za kibingwa unahitajika sio kwa mkoa wa Tanga bali ni mikoa yote nchini. Ummy ambaye pia…
Majaliwa awajulia hali mama na mwanaye waliokolewa ajali ya ndege
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasili mkoani Kagera kushuhudia zoezi la uokoaji wa Ndege ya Shirika la Precision Air iliyopata ajali katika Ziwa Victoria, Bukoba mkoani Kageriliyopata ajali mkoani Kagera. Majaliwa amewajulia hali wahanga wa ajali wanaopata matibabu katika hospitali ya…
BREAKING NEWS:Idadi ya vifo vyafikia 19 ajali ya ndege
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila amesema kuwa idadi ya watu waliofariki kutokana na ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea asubuhi leo katika ziwa Victoria wakati ikitua imeongezeka na kufikia vifo vya watu 19. Chalamila ametoa taarifa hiyo…