JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

LHRC yalaani matukio ya mauaji albino nchini

Kufuatia mauaji ya Mkazi wa Wilaya ya Kwimba jijini Mwanza Ndugu Joseph Mathias mwenye umri wa miaka (50),kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu,kwa kushirikiana na Chama Cha watu wenye Ualbino Tanzania na Mtandao wa watetezi wa Haki za Binadamu…

Kijana aliyeokoa watu ajali ya ndege Serikali ‘yamuheshimisha’

Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kijana Majaliwa Jackson aliyeona ndege ikianguka na kuamua kwenda kutoa msaada wa uokoaji akabidhiwe kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na aingizwe katika Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ili apate mafunzo zaidi. Hayo…

Ugonjwa wa figo unavyogharimu maisha

Tanzania ni moja ya nchi zinazoendelea zilizoathiriwa kwa kiwango kikubwa na Magonjwa Yasiyoambukiza,kutokana na kuwaathiri watu wengi na kusababisha vifo. Mwaka huu kitaifa maadhimisho ya kuzuia na kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza yanafanyika mkoani Mwanza yakiwa na kauli mbiu ya Badili Mtindo…