JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kikwete awasilisha ujumbe maalum wa Rais Samia nchini Congo

Rais wa Awamu ya Nne na Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amewasilisha Ujumbe Maalum kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Congo (Congo Brazzaville), Mhe. Collinet Makosso Anatole. Anatole alipokea ujumbe huo wa maandishi…

Bodi ya Maziwa kuanzisha bar za kisasa za maziwa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Bodi ya Maziwa nchini imeweka wazi mpango wake wa kuanzisha Bar maalum za maziwa (Maduka)katika maeneo mbalimbali ya nchi, ikiwa ni juhudi za kuhamasisha unywaji wa maziwa kwa njia endelevu na kuvutia zaidi. Mpango huo unalenga kuboresha…

Rais Mwinyi : Serikali inaendelea kuchukua hatua madhubuti kuimarisha sekta ya utalii

Na Mwandishi Maalum Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua Madhubuti za Kuimarisha Sekta ya Utalii Ili kuwa Endelevu na kuifanya Zanzibar kuwa Kituo Muhimu cha Utalii kinachotambulika na…

Victor Tesha aongoza mageuzi mapya sekta ya madini baada ya kung’ara kwenye ubunifu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kumuamini Victor Tesha kama mmoja wa viongozi vijana wenye uwezo wa kusimamia mageuzi makubwa ya kitaifa, kufuatia uteuzi wake mpya kuwa Mwenyekiti wa Timu Maalum…

LATRA yabainisha mafanikio kuanza kwa safari za saa 24

*Kuna ongezeko la leseni zitolewazo kwa madereva. *Kuanza kwa safari za saa 24 kumeketa mafnikio, wengi wasafiri usiku *Uimarishwaji wa miundombinu ya barabara. Na Lookman Miraji Mamlaka ya usimamizi wa usafiri wa ardhini nchini LATRA imeelezea tathmini ya mafanikio ya…