Author: Jamhuri
EACOP , PCK kufadhili masomo kwa vijana 80 hapa nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kushirikiana na mkandarasi wa kusambaza mabomba PANYU CHU KONG STEEL PIPE (PCK) wametoa ufadhili wa mafunzo ya nadharia na vitendo kwa vijana 80 wa…
NFRA yajivunia mafanikio ya utendaji miaka 4 ya Rais Samia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula nchini (NFRA) umesema kuwa unajivunia mafanikio uliyoyapata katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza uwezo wa uhifadhi wa…
Urusi,Ukraine zashambuliana vikali kwa droni na makombora
Mapambano makali yameripotiwa Jumamosi kati ya Moscow na Kiev, ambapo watu watatu wameuawa katika eneo la mkoa wa Ukraine wa Kherson linalokaliwa na Urusi. Gavana wa Mkoa huo wa Kherson Vladimir Saldo amesema watu wawili wameuawa kwenye barabara kati ya…
Diwani Mussa aongoza harambee ujenzi Ofisi wafanyabiashara Pugu Mnadani
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es Salaam LICHA ya kufanya harambee kwa ajili ya kujenga ofisi ya wafanyabiashara wa Pugu Mnadani imeelezwa kuwa kuna changamoto ya wafanyabiashara kupeleka ngo’mbe zao moja moja kwa moja kwenye machinjio bila kupitisha kwenye Mnada hali…
Tume ya Madini yatoa bei mpya madini ya vito
TUME ya Madini kupitia Kurugenzi ya Ukaguzi na Biashara ya Madini, imekutana na wadau wa madini ikiwemo Wathaminishaji wa Madini, Wachimbaji Wadogo na Wanunuzi ili kupanga bei elekezi ya madini ya vito. Akizungumza jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Ukaguzi na Biashara…