Rais Dkt. Samia ahutubia Bunge la Jamhuri ya Angola Jijini Luanda
JamhuriComments Off on Rais Dkt. Samia ahutubia Bunge la Jamhuri ya Angola Jijini Luanda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Angola Jijini Luanda katika muendelezo wa Ziara yake ya Kiserikali nchini humo tarehe 08 Aprili, 2025.