Rais Samia akihutubia wananchi kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
JamhuriComments Off on Rais Samia akihutubia wananchi kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia Wananchi kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kitaifa yamefanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha tarehe 08 Machi, 2025.