Rais Samia akikagua maboresho ya mradi wa gati mbili mpya Bandari ya Tanga
JamhuriComments Off on Rais Samia akikagua maboresho ya mradi wa gati mbili mpya Bandari ya Tanga
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua Maboresho ya mradi wa gati mbili mpya katika Bandari ya Tanga, leo tarehe 01 Machi, 2025.