Rais Samia akiwasili uwanja wa Mkwakwani kuwahutubia wananchi
JamhuriComments Off on Rais Samia akiwasili uwanja wa Mkwakwani kuwahutubia wananchi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Mkwakwani kwa ajili ya kuwahutubia wananchi mkoani Tanga tarehe 28 Februari, 2025.