Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Kitengo cha Usawa wa Jinsia kutoka Taasisi ya Gates Dkt. Anita Zaidi katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Februari, 2025.