Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Barabara mpya ya kiwango cha lami ya Mbinga – Mbamba Bay yenye urefu wa kilomita 66 katika Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma tarehe 25 Septemba, 2024.
Please follow and like us:
Pin Share