Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 23, 2024
MCHANGANYIKO
Rais akiangalia vikundi vya ngoma ya asili Ruvuma
Jamhuri
Comments Off
on Rais akiangalia vikundi vya ngoma ya asili Ruvuma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia vikundi mbalimbali vya ngoma za asili za Mkoa wa Ruvuma mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Songea kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi mkoani humo tarehe 23 Septemba, 2024
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa alipokuwa akitoa maelezo kuhusu mradi wa ukarabati na upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Songea Mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2024. Mhe. Rais Dkt. Samia ameanza ziara ya kikazi Mkoani Ruvuma ambapo pamoja na mambo mengine atakagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kuzungumza na wananchi.
Please follow and like us:
Post Views:
57
Previous Post
Rais Samia awasili Ruvuma kwa ziara ya kikazi
Next Post
Polisi: Tunawashikilia Mbowe na Lissu kwa kujihusisha na maandamano
Rais Samia akagua ukarabati na upanuzi wa kiwanja cha ndege Songea
Viongozi wala rushwa hawakubaliki
Majaliwa: Mataifa madogo yaungwe mkono kiuchumi
Polisi: Tunawashikilia Mbowe na Lissu kwa kujihusisha na maandamano
Rais akiangalia vikundi vya ngoma ya asili Ruvuma
Habari mpya
Rais Samia akagua ukarabati na upanuzi wa kiwanja cha ndege Songea
Viongozi wala rushwa hawakubaliki
Majaliwa: Mataifa madogo yaungwe mkono kiuchumi
Polisi: Tunawashikilia Mbowe na Lissu kwa kujihusisha na maandamano
Rais akiangalia vikundi vya ngoma ya asili Ruvuma
Rais Samia awasili Ruvuma kwa ziara ya kikazi
Bashe atoa bei elekezi ya mahindi Ruvuma
Hii taarifa ipuuze
TPA: Ujenzi wa bandari mpya ya Mbamba Bay kuleta ajira, kukuza uchumi
Rais Samia aanza ziara Ruvuma leo
Rais Samia mgeni rasmi Tamasha la Utamaduni Songea, Rais Samia, Ndumbaro atembelea maonesho
MIAKA 10 YA RSA: Mwakihaba atoa onyo kwa madereva wanaovunja sheria
Rais Samia kuutembelea Mkoa Ruvuma, wananchi watakiwa kujitokeza kumpokea
Bashe aleta tabasamu Namtumbo, awarejeshea hekta 3000 kwa wakulima
Watanzania tuendelee kudumisha amani – Dk Biteko