Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
August 15, 2024
MCHANGANYIKO
Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali Ikulu Dar es Salaam
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali Ikulu Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Mawaziri kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam leo tarehe 15 Agosti, 2024. Mawaziri hao walioapa ni: Mhe. Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi (Mb.) kuwa Waziri wa Katiba na Sheria;
Mhe. William Vangimembe Lukuvi (Mb.) kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu); Mhe. Jenista Joackim Mhagama (Mb.) kuwa Waziri wa Afya; na Mhe. Balozi Dkt. Pindi Hazara Chana (Mb.) kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Abdul Rajab Mhinte kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Agosti, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Ally Saleh Possi kuwa Wakili Mkuu wa Serikali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Agosti, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Hamza Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Agosti, 2024
Please follow and like us:
Post Views:
125
Previous Post
TCB kushirikiana na Bunge kuwainua wajasiriamali nchini
Next Post
Rais Samia apokelewa na gwaride maalum Zimbabwe
Rais Samia ateta IGP Wambura Ikulu jijini Dar es Salaam
Kafulila aipongeza CBE kwa ubunifu
Rais Mwinyi aipongeza Airpay uzinduzi mifumo ya kidijitali ya ZEEA
Uchunguzi wa kisayansi umesaidia kuunganisha wahalifu na tuhuma zinazowakabili kiurahisi
Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
Habari mpya
Rais Samia ateta IGP Wambura Ikulu jijini Dar es Salaam
Kafulila aipongeza CBE kwa ubunifu
Rais Mwinyi aipongeza Airpay uzinduzi mifumo ya kidijitali ya ZEEA
Uchunguzi wa kisayansi umesaidia kuunganisha wahalifu na tuhuma zinazowakabili kiurahisi
Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
Dk Biteko aagiza Kigoma kuingizwa kwenye gridi kabla ya 2025
Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba
Zaidi ya watu 70,000 waliojitolea kuipigania Urusi wafa Ukraine
UN yaridhia Israel kuondoka Palestina
Msongozi awashauri wanawake kugombea nafasi za wenyeviti Serikali ya Mtaa
Waziri Mhagama afurahishwa na MSD inavyookoa maisha ya watoto njiti
Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari