Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
July 16, 2024
MCHANGANYIKO
RPC Mtatiro azindua kampeni ya usambazaji nishati ya kupikia nchini kati ya G4S na Oryx Gas
Jamhuri
Comments Off
on RPC Mtatiro azindua kampeni ya usambazaji nishati ya kupikia nchini kati ya G4S na Oryx Gas
Mkurugenzi mtendaji wa Oryx Tanzani, Mr. Benoit Araman(kushoto) akimsikiliza jambo Mkurugenzi mtendaji wa G4S, Imelda Lutebinga(kulia)wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni ya ushirikiano kati ya G4S na Oryx Gas ya kusambaza Nishati Safi ya kupikia kwa kampuni ya G4S nchi nzima, Lengo likiwa kuunga mkono kampeni ya kumtua mama kuni kichwani iliyoanzishwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.Hafla hiyo ilifanyika jana jijini Dar es salaam
.
Kamanda wa Polisi kinondoni, RPC Mtatiro Kitinkwi (katikati)pamoja na Mkurugenzi mtendaji wa Oryx Tanzani, Mr. Benoit Araman(kushoto) na Mkurugenzi mtendaji wa G4S, Imelda Lutebinga wakizindua kampeni ya ushirikiano kati ya G4S na Oryx Gas ikiwa ni kampeni mahusus ya kusambaza Nishati Safi ya kupikia kwa kampuni ya G4S nchi nzima, Lengo likiwa kuunga mkono kampeni ya kumtua mama kuni kichwani iliyoanzishwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.Hafla hiyo ilifanyika jana jijini Dar es salaam.
Please follow and like us:
Post Views:
193
Previous Post
Rais Samia afungua jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Rukwa
Next Post
Babati DC haijakurupuka bali imejipanga na miradi yenye Viwango -Mnzava
Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
Dk Biteko aagiza Kigoma kuingizwa kwenye gridi kabla ya 2025
Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba
Habari mpya
Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
Dk Biteko aagiza Kigoma kuingizwa kwenye gridi kabla ya 2025
Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba
Zaidi ya watu 70,000 waliojitolea kuipigania Urusi wafa Ukraine
UN yaridhia Israel kuondoka Palestina
Msongozi awashauri wanawake kugombea nafasi za wenyeviti Serikali ya Mtaa
Waziri Mhagama afurahishwa na MSD inavyookoa maisha ya watoto njiti
Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari
Waziri Mkuu amwakilisha Rais Samia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Vituo vya zana za kilimo kujengwa nchi nzima, wanaowanyonya wakulima kukiona
Serikali kuendelea kutekeleza mkakati wa nishati safi ya kupikia
Waziri Jafo ataka wananchi kuacha kuchanganya mazao