Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
July 16, 2024
MCHANGANYIKO
Rais Samia afungua Barabara ya Sumbawanga, Matai-Kasanga Rukwa
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia afungua Barabara ya Sumbawanga, Matai-Kasanga Rukwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi wa barabara ya Sumbawanga-Matai- Kasanga (km107) iliyojengwa kwa kiwango cha lami. Hafla ya ufunguzi wa barabara hiyo imefanyika Matai Wilayani Kalambo Mkoani Rukwa tarehe 16 Julai, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria ufunguzi wa barabara ya Sumbawanga-Matai- Kasanga (km107) iliyojengwa kwa kiwango cha lami. Hafla ya ufunguzi wa barabara hiyo imefanyika katika eneo la Matai Wilayani Kalambo Mkoani Rukwa tarehe 16 Julai, 2024.
Taswira ya Barabara ya Sumbawanga- Matai-Kasanga (km107) iliyojengwa na kukamilika kwa kiwango cha lami
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Matai katika Wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa mara baada ya kufungua barabara ya Sumbawanga- Matai-Kasanga (km107), tarehe 16 Julai, 2024.
default
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua Barabara ya Sumbawanga-Matai-Kasanga (km107) iliyojengwa na kukamilika kwa kiwango cha lami katika eneo la Matai tarehe 16 Julai, 2024.
Wananchi wa Matai, Kalambo Mkoani Rukwa wakiwa kwenye mkutano wa hadhara pamoja na hafla ya ufunguzi wa Barabara ya Sumbawanga-Matai-Kasanga (km107) iliyojengwa na kukamilika kwa kiwango cha lami katika eneo la Matai tarehe 16 Julai, 2024.
Please follow and like us:
Post Views:
259
Previous Post
Trump amchagua JD Vance kama mgombea mwenza wake
Next Post
Matembezi ya utulivu rasmi kufanyika Julai 20
Kafulila aipongeza CBE kwa ubunifu
Rais Mwinyi aipongeza Airpay uzinduzi mifumo ya kidijitali ya ZEEA
Uchunguzi wa kisayansi umesaidia kuunganisha wahalifu na tuhuma zinazowakabili kiurahisi
Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
Dk Biteko aagiza Kigoma kuingizwa kwenye gridi kabla ya 2025
Habari mpya
Kafulila aipongeza CBE kwa ubunifu
Rais Mwinyi aipongeza Airpay uzinduzi mifumo ya kidijitali ya ZEEA
Uchunguzi wa kisayansi umesaidia kuunganisha wahalifu na tuhuma zinazowakabili kiurahisi
Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
Dk Biteko aagiza Kigoma kuingizwa kwenye gridi kabla ya 2025
Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba
Zaidi ya watu 70,000 waliojitolea kuipigania Urusi wafa Ukraine
UN yaridhia Israel kuondoka Palestina
Msongozi awashauri wanawake kugombea nafasi za wenyeviti Serikali ya Mtaa
Waziri Mhagama afurahishwa na MSD inavyookoa maisha ya watoto njiti
Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari
Waziri Mkuu amwakilisha Rais Samia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa