Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Jengo la Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi. Wengine katika picha ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Camillus Wambura pamoja na viongozi wengine leo tarehe 14 Julai, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua maghala na vihenge vya kisasa vya kuhifadhia nafaka vya Wakala wa Taifa wa Hifadhi wa Chakula (NFRA) Mpanda mkoani Katavi leo tarehe 14 Julai, 2024. Viongozi wengine katika picha ni Waziri wa Kilimo Hussein Bashe, Wakala wa Taifa wa Hifadhi wa Chakula (NFRA) Mhandisi Imani Nzobonaliba.
Please follow and like us:
Pin Share