Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
July 2, 2024
MCHANGANYIKO
Rais wa Msumbiji apokelewa na, Rais Samia jijini Dar es Salaam
Jamhuri
Comments Off
on Rais wa Msumbiji apokelewa na, Rais Samia jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Julai, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wakati Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukiimbwa kwenye mapokezi Rasmi yaliofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Julai, 2024.
Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi akikagua Gwaride la Heshima lililoandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Julai, 2024.
Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Julai, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Julai, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Julai, 2024.
Please follow and like us:
Post Views:
158
Previous Post
Rais Samia unda Kikosi Kazi cha Kuchunguza Kodi
Next Post
Dkt Mataragio akagua ujenzi wa kituo mama cha kujaz9ia gesi
Biden awaalika viongozi wa dunia kwenye mkutano kuhusu Ukraine
Palestina: Acheni kuipatia Israel silaha
Papa Francis akosoa kuibuka tena kwa vita
Serikali yatoa trekta tano kwa wanaotekeleza Mradi wa BBT Njombe
Rais Samia aagiza kufufuliwa kiwanda cha korosho Tunduru
Habari mpya
Biden awaalika viongozi wa dunia kwenye mkutano kuhusu Ukraine
Palestina: Acheni kuipatia Israel silaha
Papa Francis akosoa kuibuka tena kwa vita
Serikali yatoa trekta tano kwa wanaotekeleza Mradi wa BBT Njombe
Rais Samia aagiza kufufuliwa kiwanda cha korosho Tunduru
Serikali yaahidi kutumia ndege nyuki kuwaondoa tembo kwenye makazi ya watu Tunduru
Mfumo wa kidigitali wa Airpay na ZEEA kuwarahisishia wajasirimali kupata mikopo kwa urahisi
Watumiaji wa mtandao wa Airtel kunufaika na huduma mpya
Mikoa, Halmashauri zaagizwa kushiriki maonesho ya viwanda
Rais Dkt. Samia azungumza na wananchi wa Mchomoro, Namtumbo mkoani Ruvuma
Wenye sifa na miaka 21 wajitokeze uchaguzi Serikali za Mitaa – Dk Shemwelekwa
Hakimu, wakili wa Serikali wakerwa wakili Chuwa kuchelesha kesi
DUWASA yajenga tenki la maji la lita 200,000 Nala Dodoma
Rais Samia aipongeza AfDB, utekelezaji miundombinu ya barabara nchini
Rais Samia awahimiza wananchi Namtumbo kuchagua viongozi Serikali ya Mtaa wenye sifa