Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
June 22, 2024
Habari Mpya
Rais Samia ampokea Jamhuri ya Guinea-Bissau
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia ampokea Jamhuri ya Guinea-Bissau
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpokea Rais wa Jamhuri ya Guinea-Bissau, Mhe. Umaro Sissoco Embaló leo tarehe 22 Juni, 2024 Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais Embaló yuko nchini kwa ziara ya kikazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Guinea-Bissau Mhe. Umaro Sissoco Embaló, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Juni, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Guinea-Bissau Mhe. Umaro Sissoco Embaló akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Juni, 2024.
Please follow and like us:
Post Views:
270
Previous Post
Zoezi la uboreshaji wa daftari la wapiga kura lasogezwa hadi Julai 20, 2024
Next Post
TANESCO yawezesha kuanza kwa ujenzi wa tuta la mto Lumemo
Rais Samia afanya mazungumzo na Princess Sophie Ikulu jijini Dar es Salaam
Kapinga ashuhudia fainali Doto Cup 2024
Dk Biteko mgeni rasmi hafla ya uwekaji jiwe la msingi mradi wa kuzalisha umeme mto Malagarasi
Vikundi vya wajasiriamalia vyanufaika na mitaji wezeshi ya CRDB mil. 101.6/-
Rais Samia amedhamiria kuifungua Kigoma – Dk Biteko
Habari mpya
Rais Samia afanya mazungumzo na Princess Sophie Ikulu jijini Dar es Salaam
Kapinga ashuhudia fainali Doto Cup 2024
Dk Biteko mgeni rasmi hafla ya uwekaji jiwe la msingi mradi wa kuzalisha umeme mto Malagarasi
Vikundi vya wajasiriamalia vyanufaika na mitaji wezeshi ya CRDB mil. 101.6/-
Rais Samia amedhamiria kuifungua Kigoma – Dk Biteko
EWURA : Marufuku kuunganisha umeme majumbani kama huna leseni
Mashindano KNK Cup 2024 yahitimishwa, mabingwa wa Bukombe, Karagwe kuchuana
Rais Mstaafu Kikwete atoa mafunzo kwa mawaziri wa afya, elimu Marekani
Akutwa ameuawa porini
Dk Nchimbi ashiriki kikao cha Baraza Kuu la UVCCM
Tabora tumepiga vita mafudi umeme vishoka : RAS Tabora
Wanawake viongozi walaani kauli za uvunjifu wa amani
Rais Samia akizungumza kabla ya kufunga Mkutano Maafisa Wakuu Waandamizi wa Polisi
Viongozi wastaafu wa Polisi wakiwa kwenye Mkutano Mkuu
Gwaride la watoto likipita mbele ya Rais Samia