Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
June 18, 2024
Habari Mpya
Rais Samia afungua kongamano la pili la maendeleo ya sekta ya habari
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia afungua kongamano la pili la maendeleo ya sekta ya habari
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi, Maafisa Habari wa Serikali pamoja na Taasisi mbalimbali kabla ya kufungua Kongamano la Pili la Maendeleo ya Sekta ya Habari katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Juni, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Kamati Maalum kuhusu Kutathmini hali ya Utendaji na Uchumi kwenye Vyombo vya Habari Tanzania Bara kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mwandishi Mbobevu Tido Mhando wakati wa Kongamano la Pili la Maendeleo ya Sekta ya Habari katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Juni, 2024.
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Mobhare Matinyi akisalimiana na maafisa habari wa taasisi mbalimbali katika kongamano la sekta ya habari linalofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam kuanzia Juni 18, 2024.
Please follow and like us:
Post Views:
277
Previous Post
Spika Tulia aagiza Mpina apelekwe Kamati ya Maadili
Next Post
Rais Samia : Vyombo vya habari si mshindani wa Serikali
Rais Samia azungumza na wanafunzi, wazazi baada ya kuzindua Sekondari ya Wasichana Namtumbo
Wakati umefika wa Afrika kubadilika kwa kutumia nishati safi ya kupikia – Rais Samia
Waendesha baiskeki kumuenzi Mwalimu Nyerere
WWF wakutana na wadau kujadili na kuboresha utekelezaji wa Uhifadhi Bioanuai
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania atembelea Msumbiji
Habari mpya
Rais Samia azungumza na wanafunzi, wazazi baada ya kuzindua Sekondari ya Wasichana Namtumbo
Wakati umefika wa Afrika kubadilika kwa kutumia nishati safi ya kupikia – Rais Samia
Waendesha baiskeki kumuenzi Mwalimu Nyerere
WWF wakutana na wadau kujadili na kuboresha utekelezaji wa Uhifadhi Bioanuai
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania atembelea Msumbiji
Biden awaalika viongozi wa dunia kwenye mkutano kuhusu Ukraine
Palestina: Acheni kuipatia Israel silaha
Papa Francis akosoa kuibuka tena kwa vita
Serikali yatoa trekta tano kwa wanaotekeleza Mradi wa BBT Njombe
Rais Samia aagiza kufufuliwa kiwanda cha korosho Tunduru
Serikali yaahidi kutumia ndege nyuki kuwaondoa tembo kwenye makazi ya watu Tunduru
Mfumo wa kidigitali wa Airpay na ZEEA kuwarahisishia wajasirimali kupata mikopo kwa urahisi
Watumiaji wa mtandao wa Airtel kunufaika na huduma mpya
Mikoa, Halmashauri zaagizwa kushiriki maonesho ya viwanda
Rais Dkt. Samia azungumza na wananchi wa Mchomoro, Namtumbo mkoani Ruvuma