Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
April 7, 2024
MCHANGANYIKO
Rais Samia aweka shada la maua kwenye Makaburi ya kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari Rwanda
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia aweka shada la maua kwenye Makaburi ya kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari Rwanda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akielekea kwenye eneo la Makaburi kwa ajili ya kuweka shada la maua wakati wa Maadhimisho ya miaka 30 tangu kutokea mauaji ya Kimbari Kigali nchini Rwanda. Maadhimisho hayo ya miaka 30 yamefanyika katika Makumbusho ya Mauaji ya Kimbari, Kigali nchini Rwanda na kuhudhuriwa na viongozi kutoka nchi mbalimbali tarehe 07 Aprili, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa Heshima mara baada ya kuweka shada la maua kwenye eneo la Makaburi ya kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari Kigali nchini Rwanda tarehe 07 Aprili, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakimshuhudia Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame akiwasha mwenge wakati wa kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari Kigali nchini Rwanda tarehe 07 Aprili, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali kabla ya kushuhudia kuwashwa kwa mwenge wakati wa kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari Kigali nchini Rwanda tarehe 07 Aprili, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali mara baada ya kuweka shada la maua kwenye eneo la Makaburi ya kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari Kigali nchini Rwanda tarehe 07 Aprili, 2024.
Please follow and like us:
Post Views:
363
Previous Post
Timu ya madaktari bingwa watua Katavi
Next Post
Rais Dk Mwinyi aongoza kisomo cha Hitma kumuombea hayati Sheikh Abeid Amani Karume Zanzibar
Kuna uwezekano wa kiongozi wa Hamas kuuawa -IDF
Kibaha yafikia asilimia 33 ukusanyaji wa mapato robo ya kwanza 2024/2025
Serikali kuwezesha vifaa vya uongezaji thamani madini ya vito na usonara kwa vijana wa TGC
MSD Kanda ya Dar yakutana na wadau wake kuboresha upatikanaji bidhaa za afya
Serikali yatangaza kiama kwa watumishi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Habari mpya
Kuna uwezekano wa kiongozi wa Hamas kuuawa -IDF
Kibaha yafikia asilimia 33 ukusanyaji wa mapato robo ya kwanza 2024/2025
Serikali kuwezesha vifaa vya uongezaji thamani madini ya vito na usonara kwa vijana wa TGC
MSD Kanda ya Dar yakutana na wadau wake kuboresha upatikanaji bidhaa za afya
Serikali yatangaza kiama kwa watumishi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Rais Samia mgeni rasmi Jublee ya miaka 50 ya Kanisa la AICT
Fahamu mabaraza ya vijana, ushawishi wake
Arusha, Urusi zakubaliana kushirikiana kwenye kukuza sekta ya utalii nchini
Afande asomewa mashtaka hospitali – Madeleka
Jenerali Mabeyo amlilia Mbuge
Rais Samia awapongeza vijana waliotembea Butiama – Mwanza
Kamati tendaji mradi wa SOFF yakutana kuidhinisha mpango kazi utekelezaji mradi
Korea Kaskazini yaiweka Korea Kusini kama ‘nchi adui’
Biashara ya kaboni motisha kuhifadhi mazingira
Huduma upakuaji mafuta kuboreshwa bandarini