Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 14, 2023
Habari Mpya
Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali Ikulu jijini Dar es Salaam
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Balozi Stephen Patrick Mbundi kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (atayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Balozi Said Shaib Mussa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Balozi Said Shaib Mussa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Abdul-Hakim Ameir Issa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Paul Joel Ngwembe kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Martha Boniface Mpaze kuwa Jaji wa Mahakama Kuu kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Hadija Ally Kinyaka kuwa Jaji wa Mahakama Kuu kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Abdallah Halfan Gonzi kuwa Jaji wa Mahakama Kuu kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Septemba, 2023.
Please follow and like us:
Post Views:
222
Previous Post
AICC yapata mafanikio makubwa baada ya Rais Samia kuifungua nchi
Next Post
Mavunde:Sekta ya madini kufungamanisha sekta nyingine kiuchumi kupitia taarifa za miamba
Kuna uwezekano wa kiongozi wa Hamas kuuawa -IDF
Kibaha yafikia asilimia 33 ukusanyaji wa mapato robo ya kwanza 2024/2025
Serikali kuwezesha vifaa vya uongezaji thamani madini ya vito na usonara kwa vijana wa TGC
MSD Kanda ya Dar yakutana na wadau wake kuboresha upatikanaji bidhaa za afya
Serikali yatangaza kiama kwa watumishi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Habari mpya
Kuna uwezekano wa kiongozi wa Hamas kuuawa -IDF
Kibaha yafikia asilimia 33 ukusanyaji wa mapato robo ya kwanza 2024/2025
Serikali kuwezesha vifaa vya uongezaji thamani madini ya vito na usonara kwa vijana wa TGC
MSD Kanda ya Dar yakutana na wadau wake kuboresha upatikanaji bidhaa za afya
Serikali yatangaza kiama kwa watumishi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Rais Samia mgeni rasmi Jublee ya miaka 50 ya Kanisa la AICT
Fahamu mabaraza ya vijana, ushawishi wake
Arusha, Urusi zakubaliana kushirikiana kwenye kukuza sekta ya utalii nchini
Afande asomewa mashtaka hospitali – Madeleka
Jenerali Mabeyo amlilia Mbuge
Rais Samia awapongeza vijana waliotembea Butiama – Mwanza
Kamati tendaji mradi wa SOFF yakutana kuidhinisha mpango kazi utekelezaji mradi
Korea Kaskazini yaiweka Korea Kusini kama ‘nchi adui’
Biashara ya kaboni motisha kuhifadhi mazingira
Huduma upakuaji mafuta kuboreshwa bandarini