Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 5, 2023
Habari Mpya
Rais Samia ahudhuria mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi Kenya
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia ahudhuria mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi Kenya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Wakuu wa Nchi na Serikali pamoja na Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Kimataifa wakati wa Wimbo wa Umoja wa Afrika (AU) na ule wa Taifa wa Kenya ukiimbwa mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023 kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23).
Viongozi kutoka Mataifa mbalimbali Duniani wakiwa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) Nairobi nchini Kenya kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) tarehe 05 Septemba, 2023.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba akiwa pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe. Selemani Jafo katika Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Kenya Mhe. William Ruto mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Kenya Mhe. William Ruto mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023
Please follow and like us:
Post Views:
219
Previous Post
Kero ya maji kijiji cha Mpotora, wanakijiji waiangukia Serikali
Next Post
Serikali yaombwa kuwadhibiti wafanyabiashara walioficha mafuta Songea
Kuna uwezekano wa kiongozi wa Hamas kuuawa -IDF
Kibaha yafikia asilimia 33 ukusanyaji wa mapato robo ya kwanza 2024/2025
Serikali kuwezesha vifaa vya uongezaji thamani madini ya vito na usonara kwa vijana wa TGC
MSD Kanda ya Dar yakutana na wadau wake kuboresha upatikanaji bidhaa za afya
Serikali yatangaza kiama kwa watumishi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Habari mpya
Kuna uwezekano wa kiongozi wa Hamas kuuawa -IDF
Kibaha yafikia asilimia 33 ukusanyaji wa mapato robo ya kwanza 2024/2025
Serikali kuwezesha vifaa vya uongezaji thamani madini ya vito na usonara kwa vijana wa TGC
MSD Kanda ya Dar yakutana na wadau wake kuboresha upatikanaji bidhaa za afya
Serikali yatangaza kiama kwa watumishi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Rais Samia mgeni rasmi Jublee ya miaka 50 ya Kanisa la AICT
Fahamu mabaraza ya vijana, ushawishi wake
Arusha, Urusi zakubaliana kushirikiana kwenye kukuza sekta ya utalii nchini
Afande asomewa mashtaka hospitali – Madeleka
Jenerali Mabeyo amlilia Mbuge
Rais Samia awapongeza vijana waliotembea Butiama – Mwanza
Kamati tendaji mradi wa SOFF yakutana kuidhinisha mpango kazi utekelezaji mradi
Korea Kaskazini yaiweka Korea Kusini kama ‘nchi adui’
Biashara ya kaboni motisha kuhifadhi mazingira
Huduma upakuaji mafuta kuboreshwa bandarini