Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
August 29, 2023
Habari Mpya
Rais Samia azindua hoteli ya kitalii iliyopo Kizimkazi Kusini Unguja
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia azindua hoteli ya kitalii iliyopo Kizimkazi Kusini Unguja
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia pamoja na Wasanii wa ngoma ya asili ya Zanzibar (Kibati) mara baada ya kuwasili katika Hoteli ya Kitalii iitwayo Kwanza iliyopo Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa pamoja na mmiliki wa Hoteli ya Kitalii iitwayo Kwanza Bw. Hossam Elshaer kuashiria ufunguzi wa Hoteli hiyo iliyopo Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 29 Agosti, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Hoteli iitwayo Kwanza iliyopo Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 29 Agosti, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na wamiliki wa Hoteli ya Kitalii iitwayo Kwanza mara baada ya kuwasili katika hoteli hiyo Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mmiliki wa Hoteli ya Kitalii iitwayo Kwanza Bw. Hossam Elshaer wakati alipokuwa akitembelea Hoteli hiyo mara baada ya kuwasili Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi, wageni mbalimbali pamoja na wafanyakazi wa Hoteli iitwayo Kwanza mara baada ya kuifungua Hoteli hiyo iliyopo Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 29 Agosti, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi kutoka kwa mmiliki wa Hoteli ya Kitalii iitwayo Kwanza iliyopo Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar tarehe 29 Agosti, 2023.
Please follow and like us:
Post Views:
543
Previous Post
Rais Samia azindua mradi wa maji Kizimkazi kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi
Next Post
Yanga SC yaichakaza JKT Tanzania 5-0
Tanzania, Uingereza kuimarisha ushirikiano sekta ya nishati
Watu 12 wafariki 33 wajeruhiwa kwa ajali Mbeya
Hapi: Umoja na utendaji nguzo ya CCM kushika dola Uchaguzi 2024/2025
Awataka wakandarasi mradi wa umwagiliaji skimu ya Mkombozi Iringa kuongeza kasi
Waziri Jafo atembelea CBE na kutoa maagizo
Habari mpya
Tanzania, Uingereza kuimarisha ushirikiano sekta ya nishati
Watu 12 wafariki 33 wajeruhiwa kwa ajali Mbeya
Hapi: Umoja na utendaji nguzo ya CCM kushika dola Uchaguzi 2024/2025
Awataka wakandarasi mradi wa umwagiliaji skimu ya Mkombozi Iringa kuongeza kasi
Waziri Jafo atembelea CBE na kutoa maagizo
Naibu Katibu Mkuu CCM aanza ziara Shinyanga
Rais Dk Samia azungumza na wawekezaji mbalimbali nchini China
Waziri Mkuu atoa maelekezo uendeshaji mradi wa SGR
Mradi mkubwa wa maji ziwa Victoria kuinusuru Biharamulo
Rais Samia ampandisha cheo afisa wa Polisi
Shindano la kriket kufuzu Kombe la Dunia kufanyika Septemba 20
Si sahihi kufanya ukaguzi katika kaya kubaini wanaotumia kuni au mkaa
Shughuli za kibinadamu kwenye shoroba chanzo cha migongano
Rais Samia ashiriki mkutano unaohusu ukuaji wa viwanda, kilimo cha kisasa jijini Beijing
Papa na imamu mkuu wa Indonesia watoa wito wa pamoja wa amani